.
25th October, 2021
Wakati huo huo wandaamanaji wamejitokeza katika barabara za mjini mkuu Khartoum kupinga utawala wa kijeshi. Milio ya risasi imesikika baada ya raia hao kufunga barabara mjini humo. Jeshi la sudan limekuwa na mgogoro na viongozi wa kiraia tangu kumalizika kwa utawala wa Omar al Bashir aliyetimuliwa mamlakani miaka miwili iliyopita.