×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Upasuaji wa mwili wa Wanjala waonyesha alifariki kutokana na majereha yaliyosababishwa na vifaa butu

20th October, 2021

Upasuaji wa mwili wa Masten Wanjala aliyeuawa na umati huko Bungoma unaonyesha kuwa mshukiwa huyo wa mauaji ya watoto kumi na watatu alifariki kutoka na majereha yaliyosababishwa na vifaa butu. Masten alishambuliwa na kuuawa na umati uliojawa na hasira katika kijiji cha Mukhweya baada ya yeye kutoroka korokoroni jijini Nairobi pale ambapo alikuwa anatarajiwa kufunguliwa mashtaka ya mauaji. Mwili wa mshukiwa huyo ulifanyiwa upasuaji katika hospitali ya Bungoma na wanapathologia waserikali. Masten sasa anatarajiwa kuzikwa katika kijiji cha Mukhweya. 

.
RELATED VIDEOS