×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Musalia Mudavadi aitaka serikali kufanyia marekebisho mfumo wa matozo ya ushuru wa bidhaa za petroli

16th September, 2021

Kiongozi wa chama cha ANC Musalia Mudavadi ameitaka serikali kufanyia marekebisho mfumo wa matozo ya ushuru kwa bidhaa za petroli kwa vile mfumo wa sasa umepelekea gharama ya maisha kupanda na kuhangaisha wananchi kutokana na mfumuko wa bei. Idhini ya wabunge kuiruhusu serikali kuweka ushuru wa V.A.T kwa bidhaa za petroli mwaka 2018 ndio chanzo cha mfumuko wa bei ya mafuta.

.
RELATED VIDEOS