×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Aliyekuwa waziri wa michezo Hassan Wario alipa faini ya shilingi milioni 3.6 aliyopigwa na mahakama

16th September, 2021

Aliyekuwa waziri wa Michezo Hassan Wario tayari amelipa faini ya shilingi milioni 3.6 aliyopigwana mahakama baada ya kupatikana na hatia ya matumizi mabaya ya mamlaka na ufujaji wa pesa za umma. Ikimpata na hatia mahakama ilikuwa imemkatia kifungo cha miaka sita jela au faini ya shilingi milioni tatu nukta sita. Hata hivyo, mshatikwa mwenzake Stephen Soi ambaye alikuwa kiongozi wa ujumbe wa timu ya Kenya katika mashindano ya olimpiki mjini Rio mwaka 2016 alipewa adhabu kali zaidi ya kifungo cha miaka kumi jela au kulipa faini ya shilingi milioni 115.

 
.
RELATED VIDEOS