3rd August, 2021
Na viongozi wa uliokuwa muungano wa upinzani wa Nasa walikutana leo katika hafla ya mazishi katika eneo la kaunti ya Murang'a saa chache baada ya vyama vitatu tanzu vya muungano huo kutangaza rasmi kuuvunja muungano huo. Hata hivyo viongozi hao hawakuruhusiwa kuzungumza siasa katika mazishi hayo.