×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Ziara ya Ruto Uganda: Wabunge wanaomtetea watoa cheche baada ya kuzuiliwa kusafiri hapo jana

3rd August, 2021

Maafisa wa itifaki katika afisi ya Rais wamelaumiwa kutokana na kisa kilichoshuhudia katika uwanja wa ndege wa Wilson hapo jana ambapo Naibu Rais William Ruto alizuiwa kusafiri nchini Uganda. Akiwasilisha hoja bungeni mbunge wa Ruaraka Tom Kajwang’ alisema kizaazaa hicho kilimshushia hadhi Naib Rais na pia kuzua shauku kuhusu safari hiyo na sasa ni lazima maafisa wa itifaki waelezee bayana ni yapi yanayotokota. Hata hivyo wabunge wanamuunga mkono Ruto walimzomea kajwang wakidai alikuwa akiwakejeli.

.
RELATED VIDEOS