×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Kizaazaa Chuoni: Wanafunzi wamkabili msimamizi wa chuo huko Nakuru, baada ya kukosa kufanya mtihani

2nd August, 2021

Palishuhudiwa kizaazaa katika taasisi ya mafunzo ya kibiashara ya bahati huko nakuru, baada ya wanafunzi wenye hamaki kuzua rabsha wakitaka kuelezwa ni kwa nini hawajapewa mtihani, licha ya wao kulipa karo yote na kuhudhuria masomo yao ifaavyo. Kulingana na wanafunzi hao, ubadhirifu wa fedha na usimamizi mbaya wa taasisi hiyo ndicho chanzo kikuu. Lakini kama anavyoarifu ibrahim karanja, usimamizi wa taasisi hiyo umesema kuwa wanafunzi hao hawako tayari kuufanya mtihani unaosimamiwa na baraza la mitihani nchini knec, kwa kuwa hawajatekeleza matakwa yote.

.
RELATED VIDEOS