2nd August, 2021
Utekelezaji wa kanuni za kudhibiti maambukizi ya virusi vya Covid?19 na ukosefu wa madarasa yakutosha, ni baadhi ya mzigo unaowakabili wakuu wengi wa shule baada ya wanafunzi wasiopungua milioni moja kujiunga na kidato cha kwanza. Tayari shule kama vile Maseno School na ile ya wasichana ya Jomo Kenyatta iliyoko kaunti ya Nakuru, zimegeuza maktaba na baadhi ya madarasa kuwa mabweni.