.
19th June, 2021
Wagombea wa nyadhifa mbalimbali katika katika chama cha KANU tawi la Nairobi wamekutana leo kujadili mikakati watakayotumia katika uchaguzi mkuu ujao. Wamesema madhumuni ya mkutano huo ni kujiimarisha kisiasa na kuiweka katika nafasi nzuri ya siasa za ushindani katika uchaguzi mkuu wa 2022. Kadhalika walitangaza kuzindua mfumo wa digitali wa kujiandikisha.