.
16th June, 2021
Uchafuzi wa mazingira kwa kutupa plastiki ovyo, sasa ni hatari kubwa kwa binadamu, kulingana na utafiti uliofanywa mwezi januari mwaka huu. Chembe chembe za plastiki zilipatikana katika kondo au placenta baada ya mwanamke kujifungua swala ambalo linahatarisha maisha ya watoto wanaozaliwa. Aidha mazingira, ikiwemo ardhi, mito, maziwa