×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mzozo wa Ardhi Wasini: Wakazi wadai ardhi waliopewa ni kidogo, familia yapigania haki ya ardhi yao

16th June, 2021

Mzozo kuhusiana na umiliki wa kipande cha ardhi katika kisiwa cha Wasini kaunti ya Kwale unaendelea na kuna hofu kuwa makubaliano yasipoafikiwa kwa haraka huenda ukazua janga kubwa. Kwa upande mmoja mahakama imeiruhusu familia moja kuchukua ekari 289 zinazozozaniwa ilhali upande mwengine wenyeji wanadai kuwa ni chache ya ekari hizi tu ambazo familia hii inafaa kumiliki. Juhudi zozote za kupima ardhi hiyo zimezuiwa na wenyeji ambao wameapa kutowaruhusu maafisa wa ardhi Kisiwani. 

.
RELATED VIDEOS