×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Kanisa yadaiwa kugeuzwa kuwa ulingo wa siasa, viongozi wa makanisa wajitetea wakristo ni wasiasa

16th June, 2021

Uhusiano mzuri kati ya kanisa na serikali umekuwepo kwa kipindi kirefu. Licha ya kanisa kuwa sehemu yakuabudu, mara nyingi hutumika vibaya na kugeuzwa ukumbi wa miereka ya kisiasa. Na uchaguzi mkuu wa mwaka ujao unapokaribia, swala kuu limeibuka kama kweli kanisa lina jukumu lolote kisiasa, na mipaka ya jukumu hilo ni ipi?

.
RELATED VIDEOS