.
16th June, 2021
Uhusiano mzuri kati ya kanisa na serikali umekuwepo kwa kipindi kirefu. Licha ya kanisa kuwa sehemu yakuabudu, mara nyingi hutumika vibaya na kugeuzwa ukumbi wa miereka ya kisiasa. Na uchaguzi mkuu wa mwaka ujao unapokaribia, swala kuu limeibuka kama kweli kanisa lina jukumu lolote kisiasa, na mipaka ya jukumu hilo ni ipi?