.
16th June, 2021
Katika ligi ya taifa ya NSL timu ya Nairobi Stima ilishuka hadi nafasi ya 15 kwenye jedwali baada ya kubamizwa mabao 3?2 dhidi ya Kibera Black Stars. Katika matokeo mengine Fc Talanta ilitoka sare ya 1?1 dhidi ya MCF, Mwatate nao wakaambulia sare ya 2?2 dhidi ya Aps Bomet.