12th June, 2021
Viongozi katika eneo la mlima Kenya na hasa wanaounga mkono rais Uhuru Kenyatta wameshikilia watakuwa kwa serikali ijayo licha ya nipe nikupe ambayo imekuwa ikishuhudiwa…katika semi kwenye mkutano eneo la Nyeri baadhi yao wanasema eneo hilo huenda likatoa mgombea wa urais mwaka ujao kwenye uchaguzi mkuu…hata hivyo kikosi kingine hasa kutoka maeneo ya mlima kenya mashariki wamesisitiza kuunda chama chao kama anavyoarifu daniel kariuki