×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mashahidi watatu katika kesi ya mauaji ya Tecra Muigai sasa watatoa ushahidi wao faraghani

9th June, 2021

Mashahidi watatu katika kesi ya mauaji ya Tecra Muigai mwanawe mmiliki wa kiwanda cha kutengeneza vileo cha keroche sasa watatoa ushahidi wao faraghani. Hakimu Zainab Abdul ametoa agizo hilo baada ya upande wa mashtaka kutoa ombi hilo kwa kuhofia usalama wa mashahidi hao kwani wote ni wakazi wa lamu anakotoka mshukiwa mkuu Omar Lali ambaye alikuwa mpenzi wa Tecra. Omar alikamatwa na kuachiliwa huru mwezi julai mwaka jana baada ya mkurugenzi wa mashtaka ya umma kumwondolea mashtaka ya mauaji.

.
RELATED VIDEOS