×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Faith Kipyegon bingwa wa olimpiki katika mbio za 1500m ana imani kufanya vyema kwenye Olimpiki,Tokyo

2nd June, 2021

Faith Kipyegon Chepngetich bingwa wa olimpiki katika mbio za 1500m ana imani kuwa atafanya vema kwenye olimpiki mwaka huu. Kama tu wanariadha wengine wengi walivyotuarifu, faith huwa na changamoto ya kupata uwanja ya kufanyia mazoezi yake lakini anasalia kuwa na ndoto ya kutetea taji lake kwenye 1500m.

.
RELATED VIDEOS