Ndondi Waotea Ubabe: Mabondia wa Kenya tayari wamo kambini kwa maandalizi ya Olimpiki
2nd June, 2021
Kocha wa ndondi David Munuhe amesema kwamba kutokua kwa mashabiki katika michezo ya olimpiki mwaka huu kutawasaidia mabondia wa Kenya kumanikia kwenye michezo yao. Mabondia wa Kenya tayari wamo kambini kwa maandalizi ya olimpiki.