×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Rais Uhuru Kenyatta ameilaumu mahakama kwa uamuzi kuhusu mswada wa marekebisho ya katiba

1st June, 2021

Uhasama kati ya nguzo ya utawala wa Rais na idara ya mahakama kwa mara nyingine tena umejitokeza katika sherehe za siku kuu ya madaraka mjini Kisumu huku Rais Uhuru Kenyatta akiishtumu mahakama kwa kile anachosema kuwa ni kuhujumu nia ya wakenya katika uamuzi wa mahakama kuu kuharamisha mchakato wa marekebisho ya katiba kupitia mswada wa BBI. Kadhalika tofauti kati ya Rais na Naibu wake ikajitokeza tena, Naibu Rais William Ruto akisisitiza umuhimu wa kuheshimu taasisi za utawala kinyume na semi za Rais akitaka mahakama kuwajibikia maamuzi yake ambayo anasema yamelisababishia taifa hasara ya zaidi ya shilingi trillioni moja.

 
.
RELATED VIDEOS