×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Spika Justin Muturi amejitokeza waziwazi kutetea wazee wa Njuri Ncheke dhidi ya shutuma dhidi yao

29th May, 2021

Spika wa bunge la kitaifa Justin Muturi amejitokeza waziwazi kutetea wazee wa jamii ya Kikuyu dhidi ya shutuma dhidi yao na baadhi ya magavana na viongozi wa kisiasa kutoka eneo la Mlima Kenya. Muturi anasema wajibu wa wazee wa kijamii umelindwa na katiba. Akizungumza wakati wa mkutano wa muungano wa wasomi kutoka eneo la Meru, Muturi amewataka kumuunga mkono katika azma yake ya kuunganisha eneo hilo na taifa kwa jumla. Viongozi waliozungumza aidha wakiahidi kusukuma ajenda hiyo.

.
RELATED VIDEOS