×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Jinsi kijana mmoja ameibuka wa kwanza baada ya kujitosa kwenye kilimo cha samaki Isiolo

26th May, 2021

Kijana mmoja kutoka kaunti ya Isiolo ambaye aliwahi kugombea kiti cha MCA cha bulapesa na kutofanikiwa mwaka 2017, ameibuka wa kwanza kujitosa kwenye kilimo cha samaki katika kaunti ya isiolo. Robert mugambi mwenye umri wa miaka 35 anasema amenufaika pakubwa na kilimo hicho licha ya changamoto ambazo amekumbana nazo. mugambi anasema alipata wazo hilo baada ya kufilisika alipotumia fedha zake zote kufanya kampeni kwenye uchaguzi mkuu uliopita.

.
RELATED VIDEOS