×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Kaunti ya Vihiga: Wananchi waanza kukusanya saini, wanadhamiria kulivunja bunge la Vihiga

23rd May, 2021

Wakaazi wa kaunti ya Vihiga wameanzisha mchakato wa kukusanya saini kumtaka kisheria Rais Uhuru Kenyatta kuivunjilia mbali serikali ya kaunti hiyo kwa kuwa imeshindwa kutekeleza majukumu yake na kuwarejesha nyumbani wawakilishi wote wa bunge la kaunti hiyo. Wakaazi hao wanasema gavana wa kaunti hiyo Daktari Wilber Otichilo ameshindwa kutekeleza majukumu yake na wawakilishi wadi wametiwa mfukoni.

.
RELATED VIDEOS