15th May, 2021
Tume ya uchaguzi na mipaka IEBC imejipata kwenye njia panda baada ya uamuzi wa mahakama kuwa tume hiyo ingali kuwa kamilifu kutokana na ukosefu wa makamishana, ni msimamo ambao huenda ukakwamiza shughuli za IEBC ikiwemo chaguzi dogo zinazotarajiwa wiki ijayo. Tume hiyo sasa inaonekana kutapatapa huku kesi ya kukata rufaa ikitarajiwa