×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Watabiri wa hali ya anga wasema wakenya wajipange kwa kuwa mvua itaendelea kushuhuddiwa kiasi kubwa

14th May, 2021

siku za hivi karibuni zimeshuhudia mvua kubwa kote nchini jiji la nairobi likiathirika pakubwa sawia na taswira katika miji mingine. Watu wakifariki na mali ya mamilioni ya fedha ikiharibiwa kote nchini. Watabiri wa hali ya anga wakisema wakenya wajipange kwa kuwa mvua itaendelea kushuhuddiwa kwa kiasi kukubwa. Willy Lusige na taarifa kwa kina

.
RELATED VIDEOS