×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Kampeni Kidijitali: Wagombea wa bunge la Juja na Bonchari watumia mitandao kukampeni

11th May, 2021

Kwa chini ya wiki moja, wakazi wa maeneo bunge ya Juja na Bonchari wataelekea debeni kuwachagua wawawikilishi wao. Ila, kufutiliwa mbali kwa mikutano ya hadhara ya kisiasa, kumewatatiza pakubwa wawaniaji waliokuwa katika hekaheka za kujitafutia kura. Hali hiyo pia ikifungua milango ya kampeni mitandaoni. Kama anavyoarifu Emmanuel Too, hapa kukosekana wale waliovunja sheria ya kutotagusana iliyowekwa kudhibiti kuenea kwa Covid?19.

.
RELATED VIDEOS