.
11th May, 2021
Kwa chini ya wiki moja, wakazi wa maeneo bunge ya Juja na Bonchari wataelekea debeni kuwachagua wawawikilishi wao. Ila, kufutiliwa mbali kwa mikutano ya hadhara ya kisiasa, kumewatatiza pakubwa wawaniaji waliokuwa katika hekaheka za kujitafutia kura. Hali hiyo pia ikifungua milango ya kampeni mitandaoni. Kama anavyoarifu Emmanuel Too, hapa kukosekana wale waliovunja sheria ya kutotagusana iliyowekwa kudhibiti kuenea kwa Covid?19.