10th May, 2021
zaidi ya wakenya elfu mia saba wanaugua ugonjwa wa lupus humu nchini, ugonjwa ambao hutokana na kinga ya mwili wako kupigana na viini vya mwili wako. leo, taifa la kenya limejiunga na mataifa mengine kuadhimisha siku ya lupus duniani huku wale wanaougua wakitaka mikakati kuwekwa ili kupigana na ugonjwa huu. mwanahabari saada hassan ana taarifa zaidi.