×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Washikadau wa utalii katika kaunti ya Kilifi wanadai wametengwa kwenye mipango ya chanjo ya COVID-19

10th May, 2021

Washikadau wa utalii katika kaunti ya kilifi wanadai wametengwa kwenye mipango ya chanjo ya COVID-19. Wanasema wamekuwa wakishangazwa na hatua ya kutochanjwa licha ya kuwa wao wanatangamana na wageni kutoka mataifa mbalimbali. Wakizungumza huko malindi katika hafla ya usafi ya kila mwezi inayoandaliwa na progressive welfare association of malindi, wamesema wenzao kutoka kaunti ya nairobi na mombasa tayari wamechanjwa ila hawaelewi kwa nini shughuli hiyo upande wao haijang'oa nanga.

.
RELATED VIDEOS