.
10th May, 2021
Wanasayansi katika ukanda wa pwani wana wasiwasi mkubwa kufwatia ongezeko la vifo vya kasa, wanyama wanaofanana na kobe ila muhimu katika ukuzaji wa mazingira ya fukwe za bahari. wawindaji haramu na wavuvi wanalaumiwa pakubwa vifo hivi ambapo baadhi ya walaji wa nyama ya kasa wamesingizia uchu wa tendo la ndoa. tobias chanji na taarifa kamili.