10th May, 2021
Wanafunzi wasiopungua 15 katika shule ya upili ya moi high school kabarak, ni miongoni mwa wanafunzi 893 nchini, waliojizolea alama ya a katika mtihani wa KSCE. Aidha mwalimu mkuu wa shule hiyo elisheba cheruiyot anasema kuwa japo kufikia jioni ya leo walikuwa hawajapata matokeo yote, ishara zimeashiria kuwa huenda wakawahi lengo lao la mwaka wa ambalo ni alama 12 na kuwa zaidi ya asilimia 90 ya wanafunzi wao, watafuzu kuingia chuo kikuu. ibrahim karanja alikuwa kabarak na anaarifu