×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Usiri na malumbano yajitokeza huku mabunge 15 yakijadili mswada kunganyifu wa BBI

22nd April, 2021

Shughuli ya kurekebisha katiba kupitia mchakato wa BBI imegubikwa na usiri na malumbano kuhusu mapendekezo kadhaa. Tofauti na utaratibu mwigine wa kurekebisha katiba kama ilivyokuwa wakati wa bomas hadi katiba ya 2010 ambapo serikali ilihakikisha wananchi wanapata nakala zote na kujifahamisha yaliyomo, mambo yamekuwa tofauti na mswada wa BBI.  Tume ya uchaguzi iliwasilisha nakala ya bbi kwa mpiga chapa wa serikali ili kuwasilishwa kwa kaunti zote 47.  Je, nini kilichojiri kwenye afisi za mpiga chapa wa serikali ndipo miswada miwili kinzani ikachapishwa na kuwasilishwa kwa mabunge ya kaunti?  

 

.
RELATED VIDEOS