.
22nd April, 2021
Ushirikiano baina ya Kenya na Marekani haswa kuhusu usalama na masuala ya afya, ndiyo ilikuwa ajenda kuu katika kikao baina ya seneta wa Baringo Gideon Moi na kaimu balozi wa marekani nchini Eric Kneedler. Seneta Moi akiishukuru marekani kwa kuendelea kushirikiana na Kenya. Awali Moi alipokea msaada wa vifaa vya afya kutoka kwa kampuni ya kamari ya Mozzartbet, unaonuiwa kuifaidi kaunti ya Baringo.