.
22nd April, 2021
Chama cha U.D.A kimejitokeza wazi na kusema kuwa hawang'atuki kwenye muungano wao na chama cha jubilee katika kile kinaonekana kuwa ubishi kati ya viongozi wa u.d.a na wale wa jubilee. Daniel kariuki anatupa taarifa hiyo ya msukosuko unaoendelea chamani jubilee.