×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mahakama yampata aliyekuwa mwalimu mkuu wa Icaciri Jane Muthoni na hatia ya kumua mumewe

22nd April, 2021

Mahakama ya Nakuru imempata na hatia mwalimu mkuu wa zamani wa shule ya sekondari ya Icaciri, Jane Muthoni na mshukiwa mwenza Isaac Ng’ang’a ya kumuua Solomon Mwangi, mumewe Mane. Mwili wa marehemu mwangi aliyekuwa mkuu wa shule ya sekondari ya Kiru boys, huko murang’a ulipatikana umetupwa kwenye shamba la kahawa la karakuta kaunti ya kiambu novemba 2016.

 

.
RELATED VIDEOS