×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mswada Gushi BBI? Kaunti 13 ziliujadili mswada halisi, wengine walijadili mswada ghushi

21st April, 2021

Shughuli ya kurekebisha katiba kupitia mchakato wa BBI imeingia baada ya jopo la wataalam waliochambua mswada huo kufichua dosari kadhaa.  Kamati ya pamoja ya bunge la taifa na bunge la seneti imegundua kwamba huenda ni kaunti 13 pekee zilizojadili mswada halisi wa BBI, ilhali mabunge mengine ya kaunti yalijadili miswada ghushi.  Aliyekuwa katibu wa jopo kazi lililoshughulikia mchakato wote wa bbi kabla mswada huo kuwasilishwa kwa tume ya IEBC amesema huenda watu fulani wamepanga njama ya kuhujumu shughuli hiyo na akatoa wito kwa idara ya upelelezi kuingilia kati.  

.
RELATED VIDEOS