×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Kiunzi cha Chanjo: Pfizer na Johnson & Johnson kuagizwa baada ya chanjo ya AstraZeneca kukosekana

21st April, 2021

Waziri wa afya Mutahi Kagwe amesema kuwa mpango wa kuagiza chanjo aina ya Pfizer Na Johnson & Johnson unaendelea, kama njia mbadala ya kutimiza mpango wa kuwachanja wakenya kutokana na virusi vya korona. Waziri Kagwe ameonya kuwa licha ya maambukizi ya virusi vya korona kupungua katika kaunti zilizoorodheshwa kama hatari zaidi, maambukizi yanaongezeka katika kaunti nyinginezo.

.
RELATED VIDEOS