16th April, 2021
Waziri wa elimu prof George Magokha amesema watahiniwa wote waliopatikana wakijihusisha na wizi wa mtihani wa KCSE watasamehewa na kupata matokeo yao ila wasimamizi wa vituo vya mtihani na polisi waliokuwa wakisimamia mitihani wakati visa vya udanganyifu wataukaobeba msalaba.. Prof. Magoha amesema kuwa watahiniwa waliopatikana na simu za rununu hawataathirika ila tu baadhi ya maswali ndiyo yatakayoondolewa alama. Amesema hatua hiyo ni kutokana na ombi la rais Kenyatta