.
16th April, 2021
Rais Uhuru Kenyatta ametangaza wazi rasmi nyadhifa za makamishna wanne wa tume ya IEBC na kuanzisha mchakato wa kuwateuwa wakenya wanne watakao chukua nafasi hizo. Iwapo mchakato huo utazingatiwa, basi huenda tume hiyo ikakamilika na makamisha wote katika muda wa miezi mitatu ijayo kama anavyotuarifu Duncan Khaemba anatufungulia dira ya wiki