15th April, 2021
Kulikuwa na shangwe, vifijo na nderemo katika kijiji cha Koisolik, eneo la kaiboi kaunti ya Nandi baada ya Laureen Chepkemboi tarus kuibuka wa kwanza katika eneo la bonde la ufa baada ya kukwangura alama ya 431 katika shule ya msingi ya st mathews septonok kaunti ya Nandi. Chepkemboi ambaye alikuwa nambari 6 kitaifa anasema kwamba bidii za mchwa zilimfanya kuwa kifua mbele. Elvis kosgei alizungumza nao na sasa anaarifu