.
14th April, 2021
Wizara ya masuala ya ndani imetangaza kanuni mpya katika kaunti tano zilizotengwa kama eneo moja. waziri matiang’i kwenye tangazo akisema kwamba kanuni zinazohusu kaunti hizo tano zitakuwepo kwa kipindi cha siku 60, kuanzia tarehe 29 mwezi machi. george maringa anaarifu zaidi.