.
14th April, 2021
Kinyume na matarajio ya wakenya wengi kwamba bei za mafuta zingeongezeka kuanzia siku ya alhamisi, mamlaka ya kudhibiti bei za mafuta nchini EPRA haijafanya mabadiliko yoyote. lita moja ya mafuta ya petroli nairobi itauzwa kwa shilingi 122.44 na dizeli lita moja shilingi 107.55. hata hivyo wakenya wanasema bei ingali juu na kuitaka serikali kuipunguza. nicholas wambua anaarifu.