.
6th March, 2021
Senata wa Siaya James Orengo ambaye ni mwandani wa kiongozi wa ODM Raila Odinga anadai kuna waziri mmoja na katibu ambao sasa wanahujumu mikakati ya Odinga ya kinyang’anyiro cha mwaka wa 2022, na kuahidi kuwataja hadharani iwapo hawatakoma. Msimamo wa orengo unajiri siku moja baada ya kakake odinga daktari Oburu Oginga kusema kwamba hamna lolote linalomzuia Odinga na naibu Rais William Ruto kushikana tena kisiasa. Mtazamaji, yote haya yana jiri wakati ambapo Odinga amekita kambi wiki nzima eneo la pwani kujaribu kufufua tena ubabe wa ODM…