.
6th March, 2021
Spika wa bunge la kitaifa Justin Muturi ametawazwa kama msemaji wa eneo la mlima Kenya mashariki katika hafla Iliyofanyika hekalu la njuri ncheke kaunti ya Meru. waliofika wametangaza kuwa muturi atakuwa msemaji wa eneo hilo na ataungana na viongozi wengine wa mlima Kenya kuhakikisha kuwa mlima kenya imejumuishwa kwenye serikali Ijayo. Daniel Kariuki anaarifi zaidi