.
5th March, 2021
Kinara wa ODM Raila Odinga leo aliitamatisha ziara yake ya siku tano ukanda wa Pwani. ziara yake ikiongeza tu idadi ya vigogo wa kisiasa ambao kwa chini ya mwezi mmoja wamekuwa waking'ang'ania kura za pwani. Lakini Raila, naibu rais William Ruto na kinara wa KANU Gideon Moi wakiwa mawindoni vigogo wa pwani pia wataka kuwa mezani. Je hali itakuwaje? Tobias Chanji anaarifu