×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Kinara wa ODM Raila Odinga leo aliitamatisha ziara yake ya siku tano ukanda wa Pwani

5th March, 2021

Kinara wa ODM Raila Odinga leo aliitamatisha ziara yake ya siku tano ukanda wa Pwani. ziara yake ikiongeza tu idadi ya vigogo wa kisiasa ambao kwa chini ya mwezi mmoja wamekuwa waking'ang'ania kura za pwani. Lakini Raila, naibu rais William Ruto na kinara wa KANU Gideon Moi wakiwa mawindoni vigogo wa pwani pia wataka kuwa mezani. Je hali itakuwaje? Tobias Chanji anaarifu

.
RELATED VIDEOS