.
5th March, 2021
Idara ya polisi imemtaka waziri wa zamani Rashid Echesa kujiwasilisha katika kituo cha polisi kilokaribu nae kutokana na tukio la kumzaba kofi afisa wa uchaguzi wa IEBC huko Matungu.Echesa alikua na hadi saa saba mchana wa leo kujiwasilisha ila bado hajafanya hivyo wakati tunakwenda hewani. Haya yanajiri baada ya wizara ya ulinzi kuwapokonya leseni