5th March, 2021
Serikali imezindua rasmi shughuli ya kusambaza chanjo ya covid-19 nchini kwenye hafla iliofanyika katika hospitali kuu ya Kenyatta Nairobi. Mkurugenzi wa wizara ya afya Daktari Patrick Amoth alikuwa mmoja wa waliopokea chanjo hiyo. Mwanahabari George Maringa alishuhudia hafla hiyo na hii hapa taarifa yake