.
2nd March, 2021
Wanafunzi ya gredi ya nne waratibiwa kufanya mtihani wao kuanzia machi tarehe nne hadi kumi na tisa. Kwenye barua kwa wakuu wa shule na wakurugenzi wa elimu katika kaunti ndogo, kaimu ofisa mkuu wa baraza la mitihani, DKT. Mercy Karogo, amesema mitihani na taratibu zake vitatiwakwa kwenye wavuti wa baraza hilo kufikia machi tarehe saba, siku moja tu kabla ya mtihani kuanza. Wakati huohuo, wizara ya elimu imeandaa kikao maalum cha maadalizi ya mitihani ya KCPE na KCSE mnamo alhamisi wiki hii.