×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

David Murathe ametangaza mikakati ya kumtimua Ruto kutoka makazi yake Karen

26th February, 2021

Naibu mwenyekiti wa chama cha jubilee David Murathe ametangaza kwamba mikakati ya kumtimua naibu rais William Ruto kutoka makazi yake rasmi ya serikali huko Karen inakaribia kukamilika. Lakini kwa upande wake, Ruto ambaye anazidi kuwindwa na chama chake amesema yuko tayari kupambana na wapinzani ana kwa ana. Ktn news imethibitisha kwamba mwenyekiti wa kamati ya taifa simamizi ya chama hicho NMC ameandaa mkutano siku ya jumatatu wa kumfurusha caleb kositany kama naibu katibu mkuu wa Jubilee

.
RELATED VIDEOS