24th February, 2021
Waziri wa Elimu Prof. George Maghoha amesema kwamba mitihani ya taifa itafanywa ilivyoratibiwa kuanza mwezi ujao wa machi. Waziri magoha amesema hayo alipokuwa ziarani huko kiambu, katika shule ya sekondari ya kuu eneo bunge la kiambu township, kwenye ufunguzi wa shule mpya ya umma iliyojengwa kwa ufadhili wa fedha za ustawi wa maeneo bunge, CDF