.
24th February, 2021
Jaji mkuu Mstaafu David Maraga amewasilisha kesi mahakamani dhidi ya wakili Ahmednassir Abdullahi kufuatia habari alizochapisha kwenye mtandao wake wa kijamii, habari anazosema zinamchafulia jina. Maraga pia anataka Mahakama iagize alipwe fidia na vile vile agizo litolewe la kumkanya wakili huyo kutochapisha habari zozote kumhusu. Duncan Khaemba na taarifa hiyo