×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Watoto kutoka kituo cha watoto cha Wamo Kawangware watembelewa ma wahisani, wapewa matumaini

22nd February, 2021

Watoto kutoka familia zisizojimudu katika kituo cha watoto cha wamo huko kawangware eneo la gatina walipata ugeni wa aina yake kutoka kwa wahisani waliojumuika nao kwa mlo.Wahisani hao wakiongozwa na ajay jawla waliwaandalia watoto hao mlo na kuwapa matumaini maishani kwamba jamii haijawatelekeza. Msimamizi wa kituo hicho kennedy swaka aliwashukuru kwa hatua hiyo na kuwarai wakenya wanaojiweza kuwajali watoto wasiobahatika. Kituo hicho kina watoto wapatao mia tatu.

.
RELATED VIDEOS