20th February, 2021
Mwenyekiti wa KANU na seneta wa baringo Gedion Moi amefanya kikao hii leo na jamii ya wamasai katika juhudu za kupigia debe chama cha KANU na BBI vile vile…moi ametoa shukrani kwa wawakilishi wa bunge la Kajiado kwa kupitisha mswada wa BBI …haya yanajiri huku kinara wa ODM Raila Odinga akisema kuwa jumanne ndio mbivu na mbichi itabainika wakati kaunti zaidi zinatarajiwa kupitisha ripoti hii ya BBI Daniel Kariuki anaarifu zaidi